“Sijatania na huu sio mzaha, niko serious, kuna Watu baada ya kauli yangu eti wananiita kichaa mara wanasema mimi mpumbavu, kama mimi mpumbavu mbona Urais nimepewa mimi na haujapewa wewe unayejiona una akili timamu!?, nimeongea ukweli kama unakosa kemikali za kuua wadudu kwenye barakoa hasa kwa masikini nenda kwenye kituo cha petrol au diesel na uisafishe barakoa yako hasa zile za vitambaa” -Rais Duterte
Search This Blog
Monday, August 3, 2020
Rais wa Ufilipino "Tumieni PETROL au Diesel Kuosha Barakoa Zenu"
Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte ameendelea kusisitiza Watu watumie petrol au diesel kuosha mask zao (barakoa) ili kuua vijidudu na kisha wazitumie tena kwa lengo la kubana matumizi, wiki iliyopita aliitoa kauli hiyo lakini Msemaji wa Serikali Harry Roque akasema Rais huyo alikuwa anatania tu, ila Duterte amejitokeza tena na kusema hakuwa anatania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment