Search This Blog

Sunday, August 16, 2020

Rais Magufuli Alivyopiga Simu Uwanja wa Uhuru, Azungumza na Watanzania



NI Agosti 15, 2020 ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amepiga simu uwanja wa Uhuru kuzungumza na watanzania waliofika kushuhudia burudani inayoendelea muda huu.

Rais Magufuli alisikika akisema ‘Kwakweli nimefurahi sana kwa wasanii na watanzania waliofika kushuhudia burudani, nilikuwa natamani na mimi ningekuwepo kwakweli hongereni sana, nilikuwa nasikiliza kila nyimbo kwakweli CCM ni baba lao’- Rais Dkt John Pombe Magufuli

Unaweza ukabonyeza play kuitazama hii video ujionee Rais Magufuli alivyopiga Simu uwanja wa Uhuru


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...