Search This Blog

Saturday, August 15, 2020

Mwakinyo afanikiwa kuibuka Bingwa wa mkanda wa WBF


Bondia Hassan Mwakinyo amefanikiwa kuibuka Bingwa wa mkanda wa WBF baada ya kumpiga kwa point Tshibangu Kayembe wa Congo DR katika pambano la round 12

“Ningecheza mchezo wangu ambao watu wamenizoea nao, ningeweza kushinda ‘knock out’ lakini ingekuwa haina ladha na mara ya mwisho watu walibeza sana ushindi wangu ni kwa sababu nilipigana sikufanya boxing lakini leo niliamua kucheza ndondi...na ndondi inapanda thamani Tanzania kwa sababu yangu...” - Hassan Mwakinyo



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...