Search This Blog
Saturday, August 29, 2020
Mgahawa Waporomoka na Kusababisha vifo China
Mgahawa wa ghorofa mbili umeporomoka na kusababisha vifo vya watu 13 Shanxi nchini China.
Kulingana na kituo cha televisheni cha taifa nchini humo CCTV, tukio hilo limetokea katika mji wa Shiangfen, kilometa 630 kusini magharibi mwa mji mkuu Beijing.
Watu 30 wameokolewa baada ya kuwa wamefunikwa na kifusi huku wanne kati yao wakiwa wamejeruhiwa vibaya.
Mamia ya maafisa wanaendelea na shughuli za utafutaji na uokoaji, Hakuna taarifa kamili kuhusu sababu kuu ya kuanguka kwa jengo hilo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment