Search This Blog

Thursday, August 20, 2020

Mbunge aliyemaliza muda wake Jimbo la Handeni Vijijini ampongeza John Sallu kwa kuteuliwa kugombea jimbo hilo

 Mbunge aliyemaliza muda wake na Jimbo la Handeni Vijijini Mboni Mhita ampongeza ndugu. John Sallu aliyeteuliwa na Chama Cha Mapinduzi CCM kupeperusha bendera ya chama hiko katika ngazi ya Jimbo (HANDENI VIJIJINI) kunako Uchaguzi Mkuu mwezi October mwaka huu.





No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...