Wizara ya mambo ya nje imeeleza kundi la kwanza la Watanzania waliohitimu Udaktari nchini Cuba wanasafari leo Agosti 22 na kurejea nchini Tanzania kwa usafiri wa ndege baada ya kukwama Cuba kwasababu ya Corona.
Aidha imesema kuwa kundi hilo la watanzania litasafiri kwa ndege maalum ya Ufaransa hadi Paris, kisha kupanda ndege ya shirika la ndege ya Ethiopia Airline hadi Dar es salaam.
Biden, Harris wajipanga kumng’oa Trump
Ambapo kundi la pili la watanzania waliokwama nchini Cuba litarejea nchini tarehe 4 Septemba 2020.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment