Search This Blog
Sunday, August 16, 2020
Lyon yaiduwaza Man City na Kutinga Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa
Moussa Dembele aliingia uwanjani akitokea kwenye benchi la wachezaji wa akiba na kufunga mabao mawili ya dakika za mwisho wakati Lyon ikisababisha mshangao mwingine wa Ligi ya Mabingwa jana usiku, kwa kuiondoa Manchester City ya Pep Guardiola na ushindi wa mabao matatu kwa moja wa robo fainali mjini Lisbon.
City ilionekana kuwa kwenye mkondo sahihi wa kushinda mechi hiyo baada ya bao la Kevin De Bruyne katikati ya kipindi cha pili kulifuta bao la ufunguzi la Maxwel Cornet katika kipindi cha kwanza.
Lakini mambo yakaharibika wakati Dembele alipotumia makosa ya wachezaji wa City na kuipa Lyon ushindi. Lyon sasa itacheza nusu fainali Jumatano dhidi ya Bayern Munich.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment