City ilionekana kuwa kwenye mkondo sahihi wa kushinda mechi hiyo baada ya bao la Kevin De Bruyne katikati ya kipindi cha pili kulifuta bao la ufunguzi la Maxwel Cornet katika kipindi cha kwanza.
Lakini mambo yakaharibika wakati Dembele alipotumia makosa ya wachezaji wa City na kuipa Lyon ushindi. Lyon sasa itacheza nusu fainali Jumatano dhidi ya Bayern Munich.

No comments:
Post a Comment