Search This Blog

Monday, August 10, 2020

Lukaku aipeleka Inter Milan nusu fainali

 Mshambulaji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Inter Milan bao la pili dakika ya 21 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa mkondo mmoja wa Robo Fainali ya UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Merkur Spiel-Arena Jijini Dusseldorf, Ujerumani. Bao la kwanza la Inter Milan lilifungwa na Nicolo Barella dakika ya 15, wakati la Bayer Leverkusen lilifungwa na Kai Havertz dakika ya 24 na sasa kikosi cha Antonio Conte kitakutana na mshindi kati ya Shakhtar Donetsk na Basel zinazomenyana leo katika Nusu Fainali Jumapili

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...