Search This Blog

Monday, August 31, 2020

Lady Gaga, Ariana Grande na BTS Waongoza Kushinda TUZO za VMA'S 2020

Usiku wa kuamkia leo ulikuwa wa kipekee kwani Tuzo za MTV VMA's zilitolewa katika jiji la New York na kushereheshwa na Keke Palmer.

Mwimbaji Lady Gaga ameweka rekodi ya aina yake kwa kuondoka na Tuzo 9 usiku wa kuamkia leo, akifuatiwa na Ariana Grande pamoja na kundi la BTS.

HII HAPA ORODHA YA BAADHI YA WASHINDI

MTV Tricon Award
Lady Gaga

Video of the Year
The Weeknd - Blinding Lights

Artist of the Year
DaBaby

Song of the Year
Lady Gaga with Ariana Grande - Rain On Me

Push Best New Artist
Doja Cat

Best Pop BTS - On

Best R&B
The Weeknd - Blinding Lights

Best Hip Hop
Megan Thee Stallion - Savage

Best Music Video
Ariana Grande & Justin Bieber - Stuck with U

Best Collaboration
Lady Gaga with Ariana Grande - Rain On Me

Best Group
BTS

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...