Search This Blog
Sunday, August 30, 2020
Diamond, Kiba Walivyomaliza Ubishi Uzinduzi Wa Kampeni Za CCM
Wakali wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Diamond na Ali Kiba ambao wamekuwa wakiwagawa mashabiki kama zilivyotimu za Simba na Yanga kila mmoja akisema fulani anatisha leo walimaliza ubishi baada ya kupanda jukwaa moja.
Wakali wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Diamond na Ali Kiba ambao wamekuwa wakiwagawa mashabiki kama zilivyotimu za Simba na Yanga kila mmoja akisema fulani anatisha leo walimaliza ubishi baada ya kupanda jukwaa moja.
Katika shoo hiyo iliyooneka kama vile mpambano wa kumaliza ubishi alianza kupanda jukwaani Ali Kiba na Kisha alimalizia Diamond Platniumz ambao kila mmoja alionesha uwezo wake.
Wawili hao kila mmoja alivyopanda jukwaani umati uliofirika uwanjani hapo ulilipuka kwa mayowe ya kushangilia.
Kelele za Kiiiba…Kiiiba… Kiiiba na zile za Siiimba…Siiimba Siiimba ndizo zilizotawala uwanjani hapo wakati wawili wakipandishwa jukwaani kila mmoja kwa wakati wake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment