Search This Blog

Thursday, August 13, 2020

CHADEMA Yatangaza majina mengine ya wagombea Ubunge

CHADEMA kimemteua Lazaro Nyalandu kugombea Ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Suzan Lyimo kugombea Jimbo la Kinondoni, Lucy Magereli Kigamboni, Salome Makamba Jimbo la Shinyanga Mjini, Gibson Ole Meiseyeki kugombea Jimbo la Arumeru Magharibi, na Aboubakar Mashambo Jimbo la Bumbuli


Majina hayo ya Wabunge walioteuliwa katika awamu ya pili, yametolewa  Agosti 12, 2020, kupitia ukurasa wa mtandao wa Twitter wa chama hicho.

Tazama hapa chini orodha ya majina ya wagombea wa Ubunge walioteuliwa.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...