Search This Blog
Sunday, August 2, 2020
Askari msitumike vibaya kisiasa, askari hana chama- Kisesa
Mkuu wa utumishi Jeshini Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli amewatahadharisha Askari wa Jeshi la wananchi kujihadhari na ushabiki wa Kisiasa.
Meja Jenerali Simuli ametoa tahadhari hiyo wilayani arumeru Mkoani Arusha kwa Askari wahitimu kikosi cha Jeshi 833 Oljoro,Wakati wa kufunga mafunzo ya askari wapya kundi maalumu la nne la mwaka 2020 mchepuo wa sayansi,huku Mkuu wa shule ya mafunzo ya awali ya kijeshi, RTS Kihangaiko Canali Sijaona Myala akisisitiza utunzaji wa afya za Askari hao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment