Arsenal watwaa Ubingwa wa Kombe la FA, waichapa Chelsea mabao 2-1 kwenye mchezo wa fainali.
Fainali hiyo iliyochezwa leo katika Uwanja wa Wembley jijini London pasina uwepo wa mashabiki, imewashuhudia Arsenal ya Kocha Mikel Arteta ikitwaa ubingwa huo kwa mara ya 14 katika historia ya klabu hiyo.
Mabao mawili ya Mwafrika raia wa Gabon, Pierre Emerick Aubameyang yametosha kuipa ushindi na taji hilo ambalo limewapa tiketi ya moja kwa moja kucheza michuano ya UEFA Europa League msimu wa mwaka 2020/21
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment