Anayewania kuchaguliwa kugombea Ubunge Kwa tiketi ya CCM Jimbo la Vunjo Dk. Kanael Kaale akizungumza na Muwania kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Moshi Vijijini, Idda Mushi, nje ya UKUMBI wa CCM Wilaya ya Moshi Vijijini baada ya kikao cha TATHMINI ya ZOEZI Zima la Uchukuaji wa fomu, ambapo Vunjo wamejitokeza watu 40 Kugombea na 38 wameweza kurudisha Fomu, wakati Moshi Vijijini wamejitokeza watu 50 na walioweza kurejesha fomu ni 47.Uchaguzi wa ndani wa Kura za maoni ngazi ya Wilaya utafanyika nchi nzima Julai 20 na 21,siku ya jumatatu na jumanne
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment