Search This Blog

Friday, July 17, 2020

WAGOMBEA UBUNGE JIMBO LA VUNJO NA MOSHI VIJIJINI WAKITETA JAMBO

Anayewania kuchaguliwa kugombea Ubunge Kwa tiketi ya CCM Jimbo la Vunjo Dk. Kanael Kaale akizungumza na Muwania kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Moshi Vijijini, Idda Mushi, nje ya UKUMBI wa CCM Wilaya ya Moshi Vijijini baada ya kikao cha TATHMINI ya ZOEZI Zima la Uchukuaji wa fomu, ambapo Vunjo wamejitokeza watu 40 Kugombea na 38 wameweza kurudisha Fomu, wakati Moshi Vijijini wamejitokeza watu 50 na walioweza kurejesha fomu ni 47.Uchaguzi wa ndani wa Kura za maoni ngazi ya Wilaya utafanyika nchi nzima Julai 20 na 21,siku ya jumatatu na jumanne



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...