Search This Blog
Saturday, July 4, 2020
Usiruhusu Kamwe Marafiki Zako Wakawa na Ukaribu/Mazoea na Mkeo...Utachapiwa
Wakuu katika mambo ambayo mwanaume anapaswa kua makini nayo ni kutoruhusu ukaribu wa marafiki zake na mkeo...
Babu alinambia rafiki unaemwamini sana hata ukamchukulia kama ndugu na sehem ya familia huyo ndo unampa nafasi ya kumla kimasihara mkeo, babu yaliwahi mkuta rafikie mwarabu alomwamini sana alimchapia mkewe na hakujua mpaka mkewe alipozaa mtoto mwarabu...
Babu alinambia hii ndo aibu kubwa sana alowahi pitia katika muhula wa maisha yake na aliamua kuvunja ndoa na hakutaka tena kua na marafiki mpaka anakufa.
Hivo wakuu tuweni makini sana na marafiki zetu, ikiwezekana hata namba za wake zetu tusiruhusu wawe nazo maana ndo unaweza kua mwanzo wa fitna.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment