Search This Blog

Thursday, July 16, 2020

UDIWANI VITI MAALUM WAFIKIA 109 DODOMA

 Idadi ya Wagombea wa Udiwani Viti Maalum jijini Dodoma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) imefikia 109 huku zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu likitamatishwa siku ya leo.

Katibu wa UWT Wilaya ya Dodoma Mjini, Diana Madukwa amesema zoezi hilo linaenda vizuri ambapo muamko wa wanawake kuchukua fomu ni mkubwa na unaonesha jinsi gani Demokrasia ndani ya CCM imepamba moto na watu wanavutiwa kufanya kazi ya kumsaidia Rais Magufuli.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...