Search This Blog

Thursday, July 23, 2020

“Tumepoteza nguzo imara, Mkapa alikuwa Mchapakazi”- JPM


“Nimesikitishwa na kifo cha Mzee wetu Benjamin Mkapa (Rais Mstaafu wa Awamu ya 3), nitamkumbuka kwa mapenzi yake makubwa kwa Taifa, ucha Mungu,uchapakazi na utendaji wake katika kujenga uchumi, hakika Taifa limepoteza nguzo imara, Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi, Amina”-RAIS MAGUFULI

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...