Search This Blog
Thursday, July 23, 2020
“Tumepoteza nguzo imara, Mkapa alikuwa Mchapakazi”- JPM
“Nimesikitishwa na kifo cha Mzee wetu Benjamin Mkapa (Rais Mstaafu wa Awamu ya 3), nitamkumbuka kwa mapenzi yake makubwa kwa Taifa, ucha Mungu,uchapakazi na utendaji wake katika kujenga uchumi, hakika Taifa limepoteza nguzo imara, Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi, Amina”-RAIS MAGUFULI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment