Search This Blog

Thursday, July 2, 2020

Tembelea banda la Tigo msimu huu wa Saba Saba 2020

Kampuni ya mawasiliano inayoongoza kwa kutoa huduma za kidigitali nchini, Tigo Tanzania inawakaribisha wadau na wateja wake pamoja na wananchi wote kwa ujumla katika banda lao lililopo viwanja vya maonesho ya biashara Sabasaba jijini Dar es Salaam ufurahie huduma mbali mbali na ofa kibao. Banda la Tigo lipo mkabala na banda la Wizara ya Viwanda na Biashara.










No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...