Rapper Tekashi 69 ameachana na akaunti yake ya Instagram, imeelezwa ni kwa ajili ya usalama wake.
Akiwa amebakiza takribani siku 17 kifungo chake kumalizika, rapa huyo ameikacha akaunti yake ya Instagram. Huwenda amefuata maelekezo ya mwanasheria wake Lazzaro ambaye amekuwa akimuongoza Tekashi 69 kufuata muongozo wa sheria.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment