Search This Blog

Monday, July 6, 2020

Rais Magufuli ateua DC na DED



Leo Julai 7, Rais Magufuli amefanya uteuzi wa DC 1 na Ma-DED 5 akiwemo,  Lauteri Kanoni kuwa DC wa Wanging'ombe. Aidha amemteua Bashir Mhoja kuwa Mkurugenzi Wilaya ya Iringa, Ramadhan Possi kuwa DED Chalinze pia amemteua Baraka Zikatimu kuwa DED Wilaya ya Urambo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...