Search This Blog
Thursday, July 9, 2020
Rais Magufuli amteua wakili mkuu wa serikali
Mhe. Rais Magufuli leo tarehe 10 Julai, 2020 amemteua Bw. Gabriel Pascal Malata kuwa Wakili Mkuu wa Serikali akichukua nafasi ya Dkt. Julius Clement Mashamba.
Wakati huo huo, Mhe. Rais Magufuli amemteua Dkt. Boniface Luhende kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali akichukua nafasi ya Bw. Gabriel Pascal Malata.
Uteuzi wa viongozi hao unaanza leo tarehe 10 Julai, 2020.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment