Search This Blog

Thursday, July 9, 2020

Rais Magufuli amteua wakili mkuu wa serikali


 Mhe. Rais Magufuli leo tarehe 10 Julai, 2020 amemteua Bw. Gabriel Pascal Malata kuwa Wakili Mkuu wa Serikali akichukua nafasi ya Dkt. Julius Clement Mashamba.

Wakati huo huo, Mhe. Rais Magufuli amemteua Dkt. Boniface Luhende kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali akichukua nafasi ya Bw. Gabriel Pascal Malata.

Uteuzi wa viongozi hao unaanza leo tarehe 10 Julai, 2020.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...