Search This Blog
Monday, July 20, 2020
Oska Mkasa ashindwa kutetea kiti chake jimbo la Biharamulo Kagera
Na Clavery Christian Biharamulo Kagera.
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Biaharamulo ameshindwa kutetea kiti chake vizuri kwenye kura za maoni baada ya kupata kura 8 kati ya kura zote zilizopigwa na kushindwa kuingia hata tatu bora ya wagombea waliotiania ya kupeperusha bendera ya chama hicho katika ubunge wa jimbo hilo.
Na bw, Erasius M Sebuyoya akiibuka na kura 194 na aliyemfata nyuma Ezra John Chileweza akipata kura 113 huku Ziyuni Husseni Hamis akiibuka na kura 40.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...

No comments:
Post a Comment