Search This Blog

Tuesday, July 14, 2020

Msanii Wakazi achukua fomu ya Ubunge kupitia ACT Wazalendo



Msanii Webiro Wassira maarufu kwa jina la Wakazi leo amechukua fomu ya kuwania Ubunge kwenye Jimbo la Ukonga Dar es salaam kwa ticket ya Chama cha ACT Wazalendo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...