Search This Blog

Sunday, July 26, 2020

Mo amuomba Rais Magufuli kubadili jina la uwanja wa Taifa


Mfanyabiashara, Mohammed Dewji, maarufu kwa jina la MO amemuomba Rais John Magufuli kubadili jina la uwanja wa Taifa.

“Leo nimeamua kuanzisha petition (maombi) kwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli kubadili jina la uwanja wa Taifa kuwa: Uwanja wa Benjamini William Mkapa,” aliandika MO katika ukurasa wake wa Twitter.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...