Search This Blog

Wednesday, July 1, 2020

Mkurugenzi wa Mawasiliano CHADEMA Atangaza Nia Kugombea Ubunge

“Nimetangaza Nia ya kugombea Ubunge Jimbo la Segerea Katika uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu kama Chama changu Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema kitanipa fursa hiyo.Naomba ushirikiano kwa wananchi wa Jimbo hili.”- Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mambo ya nje wa @ChademaTz JOHN MREMA

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...