Search This Blog
Thursday, July 2, 2020
Mgonjwa mwingine apandikizwa figo Hosp. ya Benjamin Mkapa
Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) kwa kushirikiana na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM), imefanikiwa kwa mara nyingine kupandikiza figo, ikiwatumia madaktari bingwa wa hapa nchini.
Hayo yamebainika wakati Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali hiyo ya Benjamin Mkapa Dkt. Alphonce Chandika akiwa na jopo la wataalamu wa BMH na wale wa UDOM, walipoeleza mafanikio waliyoyapata kwa mgonjwa mwingine aliyepandikiziwa figo, na hali yake ikiendelea vizuri, pamoja na yule aliyetoa figo.
Pamoja na kupatikana kwa mafanikio hayo, lakini Dkt. Chandika akawa na wito mahususi kwa wananchi kujenga tabia ya kuchunguza afya zao, ili kuziokoa figo zisifike hatua ya kufa na kufanyiwa matibabu ya kusafishwa damu (Dialysis) au kupandikizwa figo (Transplant).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment