Search This Blog
Monday, July 27, 2020
Manara Amjia Juu Kocha wa Yanga, Awataka TFF, Serikali Kumchukulia Hatua Kwa Kuwaita Mashabiki Mbwa
Msemji wa timu ya Simba Haji Manara amesikitishwa na kukerwa na kitendo cha kocha wa timu ya Yanga kwa kuwaita mshabiki mbwa au nyani na kuwataka TFF na waziri mwenye dhamana kumchukulia hatua ikiwa ni pmoja na kumnyang'anya vibali vya kzi na kuishi Tanzania.
Kauli hiyo ameitok kupitia ukurasa wake wa instagramu na kuandika haya;
Huyu Mzungu hafai kuendelea kufanya kazi Tanzania, kama Yanga kwa ujinga wao watashindwa kumfukuza na TFF ikashindwa kuchukua hatua, Serikali imfukuze nchini, hawezi kuwafananisha mashabiki wao na Nyani au mbwa, kama Watanzania ndugu zetu ni Nyani, nn kilimleta Tanzania? Angebaki kwao walipo Washabiki binadaam,,,ningekuwa Minister wa home affairs,Asubuhi tu ningeshanyang’anya vibali vyote vya kuishi na kufanya kazi hapa,,,
Hana heshma na hastahili kuendelea kufanya kazi ktk taifa hili linalojali utu na hadhi ya binadaam bila ubaguzi
@tanfootball @tplboard
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment