Search This Blog

Saturday, July 11, 2020

Kisa Kalio, Lady Jaydee Amtolea Uvivu Shabiki


MWANADADA ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wa Wife; Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ alioshirikishwa na msanii mwenzake Rajab Abdul ‘Harmonize’, hivi karibuni alimjibu shabiki mtandaoni baada ya kuambiwa hana kalio.

Mrembo huyo aliposti picha katika ukurasa wake wa Instagram ambapo aliibuka shabiki mmoja na kuandika hivi “Halafu dada kama hauna kalio vile au macho yangu?” aliuliza @ gwimkai.

Lady Jaydee naye akamjibu kwa kuandika “Ni kweli huwa nakalia shingo,” aliandika gwiji huyo.

ZIMEANDALIWA NA MEMORISE RICHARD

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...