Search This Blog
Saturday, July 11, 2020
Kisa Kalio, Lady Jaydee Amtolea Uvivu Shabiki
MWANADADA ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wa Wife; Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ alioshirikishwa na msanii mwenzake Rajab Abdul ‘Harmonize’, hivi karibuni alimjibu shabiki mtandaoni baada ya kuambiwa hana kalio.
Mrembo huyo aliposti picha katika ukurasa wake wa Instagram ambapo aliibuka shabiki mmoja na kuandika hivi “Halafu dada kama hauna kalio vile au macho yangu?” aliuliza @ gwimkai.
Lady Jaydee naye akamjibu kwa kuandika “Ni kweli huwa nakalia shingo,” aliandika gwiji huyo.
ZIMEANDALIWA NA MEMORISE RICHARD
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment