Search This Blog

Thursday, July 23, 2020

KIFO CHA MKAPA: JPM atangaza maombolezo siku saba


Rais Magufuli ametangaza siku 7 za maombolezo ya Kitaifa kuanzia leo Ijumaa July 24,2020 kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Tanzania Benjamin William Mkapa kilichotokea DSM, katika kipindi chote cha maombolezo bendera zote zitapepea nusu mlingoti.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...