Search This Blog
Thursday, July 23, 2020
KIFO CHA MKAPA: JPM atangaza maombolezo siku saba
Rais Magufuli ametangaza siku 7 za maombolezo ya Kitaifa kuanzia leo Ijumaa July 24,2020 kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Tanzania Benjamin William Mkapa kilichotokea DSM, katika kipindi chote cha maombolezo bendera zote zitapepea nusu mlingoti.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment