Search This Blog
Monday, July 27, 2020
Kauli ya Tundu Lissu Leo Baada ya Kutua Tanzania "Huu Mwili ni Ramani za Makovu ya Risasi na Visu vya Madaktari,"
"Mungu wetu ni mwema sana, katika mazingira ya kawaida sikutakiwa niwe hai, nimerudi nyumbani kwetu, ni miaka mitatu kasoro mwezi ifike ile siku ambayo hata sikumbuki hata niliondokaje, miaka mitatu ambayo ilikuwa ni migumu sana" - Tundu Lissu
"Mkiniona nimevaa hivi unaweza usielewe sana kungekuwa na uwezekano wa kuvua magwanda haya, wote mtakimbia kwa sababu huu mwili ukiachia kichwa na uso, huu mwili ni ramani za makovu ya risasi na visu vya Madaktari, huu mwili una vyuma vingi" - Tundu Lissu
"Huu Mguu wa kulia umejaa vyuma kuanzia kwenye Goti hadi kwenye Nyonga, vingine vipo kwenye mkono wa kushoto na Mkono wa kushoto haunyoki, kuna Risasi iko chini ya Mgongo Madaktari walisema ibaki hapo hapo ni salama zaidi kuliko kuitoa" - Tundu Lissu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment