Search This Blog
Sunday, July 12, 2020
Jerry Muro, Dismas Ten waipongeza simba kwa ushindi "Simba imecheza mpira wa kiwango cha uchumi wa kati"
Timu ya simba jana imeionyesha mpira timu ya yanga na kukubari kuchezea kichapo cha bao 4-1 hali ambayo imepelekea wana yanga kotoa ya moyoni kuhusu mchezo huo
Kwa upande wake DC Jerry Muro na ambaye aliwahi kuwa msemaji wa yanga kupitia instagram yake ameandika haya;
Simba imecheza mpira wa kiwango cha uchumi wa kati, Hongereni sana @simbasctanzania fantastic football, hili nalo litapita tu ndugu zangu @yangasc maisha yanaendelea bado matukio ni mengi likiwemo la uchaguzi mkuu ๐๐๐
Naye Dismas ten amesema sio suala la mbinu tu ni ubora wa timu, mchezaji mmoja mmoja na mbinu binafsi nimekubali sina sababu wala kisingizio honereni simba SC kila la kheri kwenye fainali , kila la kheri kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment