Search This Blog

Tuesday, July 28, 2020

Idris Sultan Asomewa Upya Mashtaka


MSANII wa Vichekesho, Idriss Sultan (27) na wenzake wawili wamesomewa upya mashitaka ya kuchapisha maudhui bila leseni ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kumuachia na kumkamata tena.

Mbali na Sultan ambaye ni Mkazi wa Mbezi Beach washitakiwa wengine ni Dokta Ulimwengu (28) Mkazi wa Msasani na Isihaka Mwinyimvua (22) Msanii na Mkazi wa Gongo la Mboto.

 
Washitakiwa hao awali walifikishwa mahakamani hapo na kusomewa mashitaka hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi ambae awali alifuta kesi hiyo na washtakiwa walikamatwa na kusomewa upya mashtaka hayo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...