Search This Blog

Sunday, July 5, 2020

Hatimaye..Mwimbaji Kanye WEST Atangaza Kugombea Urais wa Marekani

Msanii wa Marekani Kanye West ametangaza rasmi nia yake ya kwamba anagombea Urais wa Marekani kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Kanye amesema ahadi na ndoto za Wamerekani zitatimizwa kwa kumuamini Mungu, kuunganisha malengo yao pamoja na kuijenga kesho iliyo bora.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...