Search This Blog
Sunday, July 5, 2020
Hatimaye..Mwimbaji Kanye WEST Atangaza Kugombea Urais wa Marekani
Msanii wa Marekani Kanye West ametangaza rasmi nia yake ya kwamba anagombea Urais wa Marekani kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Kanye amesema ahadi na ndoto za Wamerekani zitatimizwa kwa kumuamini Mungu, kuunganisha malengo yao pamoja na kuijenga kesho iliyo bora.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment