The African Princess NANDY athibitisha uwepo wa kolabo yake na mfalme wa muziki wa Bongo Fleva KING KIBA
Nandy amethibitisha hilo wakati akijibu maswali ya mashabiki kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo shabiki mmoja alimuuliza kama ana ndoto za kufanya kolabo na Alikiba. Nandy alimjibu "Tunayo tayari"
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment