Search This Blog
Sunday, July 12, 2020
Diamond “Hakuna Uchaguzi Mwepesi Kama Wa Mwaka Huu”
Mwanamuzki Naseeb Abdul (Diamond) amesema kuwa hakuna uchaguzi mwepesi kwenye historia ya nchi hii kama uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mnamo mwezi oktoba mwaka huu.
Akizungumza wakati akitumbuiza kwenye hafla ndogo iliyoandaliwa na rais John Magufuli kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutembelea kwenye eneo la ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.
“Mimi nilingundua mapema ndo maana nilianza kumuimba rais Magufuli kabla hata ya uchaguzi maan anajivunia na najua hakuna uchanguzi mwepesi kama huu wa mwaka huu yaani mapema tu tunashinda ” amesema Diamond.
Mapema jana wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho kilimchangua Dkt John Magufuli na Dkt .Hussen Mwinyi kuwakilisha chama hicho kwenye uchaguzi mkuuu wa mwezi oktoba.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment