Search This Blog

Wednesday, July 15, 2020

BALOZI KAMALA AJITOSA KUWANIA KITI CHA UBUNGE JIMBO LA NKENGE MKOANI KAGERA

 Balozi Dk. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika ofisi za CCM wilaya ya Missenyi kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuchaguliwa kugombea ubunge katika jimbo la Nkenge,Mkoani Kagera kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
 Balozi Dk. Diodorus Buberwa Kamala akionesha fomu yake ya kugombea Ubunge jimbo la Nkenge,mara baada ya kukabidhiwa katika ofisi za CCM wilaya ya Missenyi.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...