Search This Blog

Sunday, July 19, 2020

Arsenal Waiadhibu Man City Hao Fainali



Club ya Arsenal leo imecheza game ya nusu fainali ya Kombe la FA dhidi ya Man City katika uwanja wa Emirates.

Mchezo huo ambao mshindi ndio alikuwa anatinga kucheza fainali ya FA Cup, Arsenal walifanikiwa kushinda 2-0 kwa magoli yaliofungwa na Pierre Emerick-Aubameyang dakika ya 19 na 71.

Mvuto wa mchezo huu ulikuwa zaidi kwa makocha wa timu hizo ambapo kocha wa Man City Pep Guardiola alikuwa anakutana na Kocha wa Arsenal Mikel Arteta ambaye ni msaidizi wake wa zamani.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...