Search This Blog
Sunday, July 19, 2020
Arsenal Waiadhibu Man City Hao Fainali
Club ya Arsenal leo imecheza game ya nusu fainali ya Kombe la FA dhidi ya Man City katika uwanja wa Emirates.
Mchezo huo ambao mshindi ndio alikuwa anatinga kucheza fainali ya FA Cup, Arsenal walifanikiwa kushinda 2-0 kwa magoli yaliofungwa na Pierre Emerick-Aubameyang dakika ya 19 na 71.
Mvuto wa mchezo huu ulikuwa zaidi kwa makocha wa timu hizo ambapo kocha wa Man City Pep Guardiola alikuwa anakutana na Kocha wa Arsenal Mikel Arteta ambaye ni msaidizi wake wa zamani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment