Search This Blog

Saturday, June 20, 2020

VIDEO: Mganga kutoka Kenya anayetengeneza dawa za kushika wezi apongezwa

Bwana mmoja Mkazi wa Kijiji cha Busegwe wilayani Butiama katika Mkoa wa Mara Fredrick Kisute ambaye ni Shuhuda  wa tukio la mganga kutoka nchini Kenya kutengeneza dawa ya kukamata wezi wa ng'ombe amewaomba wanakijiji kutumia dawa za asili kukomesha watu wanaoiba.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...