Search This Blog
Wednesday, June 24, 2020
Uchaguzi 2020 Nitamchagua Magufuli Tena Kwani Ametujengea Uthubutu
Ukiacha mafanikio mengi tunayoweza kuyaelezea ya Mheshimiewa Rais Magufuli nimewiwa kuelezea moja ya mafanikio makubwa ambayo yatabaki kwenye mioyo ya Watanzania.
Fanikio hilo muhimu ni ari ya kipekee aliyotujengea Mheshimiwa Rais.
yaani sisi sio wanyonge na kamwe hatutakiwi kuwa wanyonge.
Mh.Rais katika kipindi chake ametuonesha kuwa Watanzania tunao uwezo mkubwa na tunapaswa kiutumia kuijenga Tanzania.
Tunao uwezo
1-kutumia akili zetu ipasavyo
2-Tuna uwezo wa kudhibiti rushwa
3-Tuna uwezo wa ujasilia mali
4-Tuna uwezo wa kuanzisha biashara na kishindana kibiashara
5-Tuna uwezo kuanzisha biashara
6-Tuna uwezo wa kubuni na kusimamia miradi
7-Tuna uwezo wa kufanya kazi au biashara masaa 24
8-Tuna uwezo wa kuilinda nchi dhidi ya mabeberu
9-Tuna uwezo wa kukabiliana na majanga.
10-Tuna uwezo wa kujadiliana na dunia.
HEBU ENDELEA KUWEKA UWEZO WA WATANZANIA KAMA STATE...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment