Search This Blog
Tuesday, June 23, 2020
Trump na Macron waijadili Libya
Rais wa Marekani Donald Trump amefanya mazungumzo na rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kuhusu hali inayoendelea Libya.
Trump amependekeza kusitishwa kwa mapigano nchini humo haraka iwezekanavyo.
Kulingana na taarifa kutoka ikulu ya rais nchini Marekani, viongozi hao wawili walisisitiza kwamba lazima kusitisha mapigano nchini Libya na kwamba mazungumzo kati ya pande mbili yanapaswa kufanyika.
Trump na Macron wamesisitiza kwamba zoezi la kuongeza wanajeshi kwa pande zote lazima kusitishwe haraka iwezekanavyo kuzuia mzozo kuwa hatari zaidi nchini Libya.
Viongozi hao wamezungumza kwa njia ya simu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment