Search This Blog

Monday, June 29, 2020

Stanbic yatoa miliioni 50 kwa wizara ya Afya


Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa benki ya Stanbic Tanzania, Bi. Desderia Mwegelo akimkabidhi Mganga Mkuu wa Serikali, Prof Abel Makubi mfano wa hundi yenye thamani ya TZS miliioni 50 ambayo ni mchango wa benki hiyo kwa kazi zinazoendeshwa na Wizara ya Afya. Aliyesimama kulia ni Mkuu wa Idara ya huduma za Biashara na Uwekezaji wa benki ya Stanbic, Bw. Manzi Rwegasira.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...