Search This Blog
Sunday, June 21, 2020
Simba yaanza safari leo kuifuata Mbeya City
TIMU ya Simba leo imeanza safari kwa ndege kutoka Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuelekea Mbeya kwa ajili ya michezo miwili ya Ligi Kuu Bara.
Jumatano ya Juni 24 itakuwa na kazi mbele ya Mbeya City mchezo utakaochezwa Uwanja wa Sokoine.
Mchezo wa kwanza Simba ilishinda mabao 4-0 mchezo uliochezwa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment