Search This Blog

Friday, June 5, 2020

Shirika la ndege la Qatar kuanza safari Nchini Tanzania




Shirika la Ndege la Qatar limetangaza kurejesha safari za ndege nchini Tanzania kuanzia Juni 16, baada ya miezi miwili kupita tangu shirika hilo lilipotangaza kusimamisha safari kutokana na janga la COVID-19.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...