Search This Blog

Thursday, June 4, 2020

SAMATTA - "Kutokujua kingereza sio nashindwa kucheza professional"



“Kama bado kuna mchezaji wa mpira kinda anayetoka Tanzania anafikiri kutokana na kutokujua Kwake lugha ya kiingereza kutamfanya ashindwe kucheza professional basi aondoe huo wasiwasi kabisa,unaweza kujifunza kama nyongeza kurahisisha mawasiliano ila sio kigezo cha kufeli”-SAMATTA

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...