Search This Blog
Wednesday, June 24, 2020
RPC Arusha Ahamishwa Kituo cha Kazi
Viongozi wa mkoa wa Arusha waliosamehewa na Rais Magufuli, wamehamishwa vituo vyao vya kufanyia kazi ikielezwa kuwa ni hatua ya kuboresha ufanisi wa kazi ndani ya mkoa huo.
Kamanda Jonathan Shana ambaye alikuwa RPC wa Arusha amehamishiwa katika chuo cha polisi CCP mkoa wa Kilimanjaro, Mkuu wa TAKUKURU Frida Wikes amehamishiwa katika ofisi za mako makuu.
Imeelezwa kuwa kiongozi mwingine aliyeathirika na uhamisho ni mkuu wa usalama wa mkoa huo.
Ikumbukwe kuwa juzi jumatatu, Rais Magufuli alitangaza kuwasamehe viongozi hao na kuwapa onyo la mwisho kwa kosa la kufanya kazi ambazo hajawatuma yeye.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment