Search This Blog
Saturday, June 13, 2020
Rich Mavoko ni Mjeshi, Amepigana Sana- Darasa
Rich Mavoko mwenyewe ndio anaweza kuongea kuhusu yeye, ila naamini yeye ni Mwanajeshi na ameshapigana sana kwenye njia yake, ameshafanya vitu vingi kwenye maisha yake, naamini kipaji chake nataka kumuona, mara ya mwisho tulikutana studio tunafanya 'project' kwa Abba na alikuwa yupo poa tu, unajua hataki tu kujionyesha" amesema Darasa
"Kuna watu ambao wananizidi 'followers' kwenye Mitandao na vitu vingi kwenye but hawawezi kushindana na mimi kwenye kazi zangu na maisha yangu na wako bize 24/7" amesema Darasa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment