Search This Blog

Saturday, June 6, 2020

RC Makonda Atoa Agizo Kwa Mambosasa "Mwizi Akikamatwa Apigwe Kipigo Kizito"


“YAANI KIPIGO CHA MWIZI WA POWER WINDOW KIWE SAWA NA MWIZI WA DREAMLINER”

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Pual Makonda amewataka wananchi kuwachunga watoto wao kwani kuna wimbi la vijana waporaji pamoja wanaoiba vifaa vya magari ambalo limeuka hivi karibuni.

Akizungumza na wakazi wa wilaya ya Temeke katika ziara yake ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo, RC Makonda amesema matukio ya wizi mdogo mdogo wa vitu kama power windows yameongezeka ambapo jijini amemtaka Kamanda wa Polisi kuhakikisha hali inakuwa sawa..wezi wapiwe kipigo cha uhakika haijalishi ameiba Tecno au Iphone kipigo kinatakiwa kifanane



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...