Search This Blog
Saturday, June 20, 2020
Rais Magufuli Aendelea Kupata Sifa Kidekede....DC atamani JPM Awekwe Kwenye Vitabu vya Guinness
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobas Katambi amesema kuwa Rais Magufuli anapaswa kuingizwa kwenye vitabu vya Guinness, vitabu ambavyo vimesheheni maajabu na historia ambazo zimevunja rekodi kwa Dunia nzima.
Katambi ameyabainisha hayo hivi karibuni wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, na kueleza kuwa anatamani Rais Magufuli awekwe huko kwa sababu ni Rais anayesikika duniani kwa utendaji wake wa kazi, pamoja na maono makubwa aliyokuwa nayo.
"Ni Rais mwenye maono na upendo na ni Rais ambaye amefanya performance ambayo haijawahi kufikiwa kwenye rekodi za Dunia, ni kwa vile tu nchi za ughaibuni hawapendi kuonekana wao wako nyuma na hawapendi kuona watu weusi wamefanya vitu 'Extra Ordinary', Rais huyu alipaswa kuingia kwenye vitabu vya Guinness" amesema Katambi.
Haya yote yanajiri baada ya Rais Magufuli kumkumbusha suala la kuoa, kwa kuwa Jiji la Dodoma haliwezi kuongozwa na watu ambao hawajaoa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment