Search This Blog

Monday, June 8, 2020

Polisi na Raia wakizungu wakiosha watu weusi miguu, kuwaomba msamaha


Hii imetokea huko North Carolina ambapo Polisi pamoja na raia wa kizungu wamewaosha miguu raia wenye asili ya kiafrika kama ishara ya kuwaomba msamaha kutokana na kile kinachoendelea kuhusu ubaguzi wa watu weusi.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...